Mit. 4:8-10 Swahili Union Version (SUV)

8. Umtukuze, naye atakukuza;Atakupatia heshima, ukimkumbatia.

9. Atakupa neema kuwa kilemba kichwani;Na kukukirimia taji ya uzuri.

10. Mwanangu, sikiliza, na kuzipokea kauli zangu;Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi.

Mit. 4