Mit. 4:19-22 Swahili Union Version (SUV)

19. Njia ya waovu ni kama giza;Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.

20. Mwanangu, sikiliza maneno yangu;Tega sikio lako, uzisikie kauli zangu.

21. Zisiondoke machoni pako;Uzihifadhi ndani ya moyo wako.

22. Maana ni uhai kwa wale wazipatao,Na afya ya mwili wao wote.

Mit. 4