5. Wasije wakanywa na kuisahau sheria,Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.
6. Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea;Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7. Anywe akausahau umaskini wake;Asiikumbuke tena taabu yake.
8. Fumbua kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu;Uwatetee watu wote walioachwa peke yao;