Mit. 31:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Wasije wakanywa na kuisahau sheria,Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.

6. Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea;Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.

7. Anywe akausahau umaskini wake;Asiikumbuke tena taabu yake.

8. Fumbua kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu;Uwatetee watu wote walioachwa peke yao;

Mit. 31