Mit. 31:2-5 Swahili Union Version (SUV)

2. Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu?Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?

3. Usiwape wanawake nguvu zako;Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme.

4. Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme;Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?

5. Wasije wakanywa na kuisahau sheria,Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.

Mit. 31