Mit. 31:15-18 Swahili Union Version (SUV)

15. Tena huamka, kabla haujaisha usiku;Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula;Na wajakazi wake sehemu zao.

16. Huangalia shamba, akalinunua;Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.

17. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi;Hutia mikono yake nguvu.

18. Huona kama bidhaa yake ina faida;Taa yake haizimiki usiku.

Mit. 31