Mit. 30:32-33 Swahili Union Version (SUV)

32. Ikiwa umefanya kipumbavu kwa kujikuza;Au ikiwa umewaza mabaya;Basi weka mkono wako juu ya kinywa chako.

33. Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi;Na kupiga pua hutokeza damu;kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.

Mit. 30