Mit. 27:24-26 Swahili Union Version (SUV)

24. Kwa maana mali haziwi za milele;Na taji je! Yadumu tangu kizazi hata kizazi?

25. Manyasi huchukuliwa, na majani mabichi huonekana,Na maboga ya milimani hukusanyika.

26. Wana-kondoo hufaa kwa mavazi yako;Na mbuzi ni thamani ya shamba

Mit. 27