17. Mtu apitaye na kujisumbua kwa ugomvi usio wake;Ni kama mtu ashikaye mbwa kwa masikio yake.
18. Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge,Na mishale, na mauti;
19. Ndivyo alivyo amdanganyaye mwenzake,Na kusema, Je! Sikufanya mzaha tu?
20. Moto hufa kwa kukosa kuni;Na bila mchongezi fitina hukoma.