Mit. 25:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Hizi nazo ni mithali za Sulemani, ambazo watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda, walizinakili.

2. Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo;Bali ni utukufu wa mfalme kuchunguza jambo.

3. Mbingu huenda juu sana, na nchi huenda chini;Lakini mioyo ya wafalme haichunguziki.

4. Ondoa takataka katika fedha,Na chombo kitatokea kwa mtakasaji;

Mit. 25