Mit. 24:29-32 Swahili Union Version (SUV)

29. Usiseme, Nitamtenda kama alivyonitenda mimi;Nitamlipa mtu huyo sawasawa na tendo lake.

30. Nalipita karibu na shamba la mvivu,Na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili.

31. Kumbe! Lote pia limemea miiba;Uso wake ulifunikwa kwa viwawi;Na ukuta wake wa mawe umebomoka.

32. Ndipo nilipoangalia na kufikiri sana;Naliona, nikapata mafundisho.

Mit. 24