Mit. 23:30-34 Swahili Union Version (SUV)

30. Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo;Waendao kutafuta divai iliyochanganyika.

31. Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu;Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu;

32. Mwisho wake huuma kama nyoka;Huchoma kama fira.

33. Macho yako yataona mambo mageni;Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.

34. Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari;Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.

Mit. 23