Mit. 23:18-20 Swahili Union Version (SUV)

18. Maana bila shaka iko thawabu;Na tumaini lako halitabatilika.

19. Sikia, mwanangu, uwe na hekima,Na kuuongoza moyo wako katika njia njema.

20. Usiwe miongoni mwao wanywao mvinyo;Miongoni mwao walao nyama kwa pupa.

Mit. 23