25. Usije ukajifunza njia zake;Na kujipatia nafsi yako mtego.
26. Usiwe mmoja wao wawekao rehani;Au walio wadhamini kwa deni za watu;
27. Kama huna kitu cha kulipa;Kwani ukaondolee kitanda chako chini yako?
28. Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani,Uliowekwa na baba zako.