Mit. 22:25-28 Swahili Union Version (SUV)

25. Usije ukajifunza njia zake;Na kujipatia nafsi yako mtego.

26. Usiwe mmoja wao wawekao rehani;Au walio wadhamini kwa deni za watu;

27. Kama huna kitu cha kulipa;Kwani ukaondolee kitanda chako chini yako?

28. Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani,Uliowekwa na baba zako.

Mit. 22