9. Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa;Naye asemaye uongo ataangamia.
10. Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu;Sembuse mtumwa awatawale wakuu.
11. Busara ya mtu huiahirisha hasira yake;Nayo ni fahari yake kusamehe makosa.
12. Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba;Bali hisani yake kama umande juu ya majani.