Mit. 19:14-16 Swahili Union Version (SUV)

14. Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye;Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.

15. Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito;Na nafsi yake mvivu itaona njaa.

16. Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake;Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.

Mit. 19