14. Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye;Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.
15. Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito;Na nafsi yake mvivu itaona njaa.
16. Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake;Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.