Mit. 16:16-18 Swahili Union Version (SUV)

16. Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu?Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.

17. Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu;Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.

18. Kiburi hutangulia uangamivu;Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.

Mit. 16