Mit. 16:13-15 Swahili Union Version (SUV)

13. Midomo ya haki ni furaha ya wafalme;Nao humpenda yeye asemaye yaliyo sawa.

14. Hasira ya mfalme ni kama wajumbe wa mauti;Lakini mtu mwenye hekima ataituliza.

15. Kuna uhai katika nuru ya uso wa mfalme,Na fadhili zake ni kama wingu la masika.

Mit. 16