Mit. 16:10-13 Swahili Union Version (SUV)

10. Kukata maneno huwa katika midomo ya mfalme;Kinywa chake hakitakosa katika hukumu.

11. Mizani ya haki na vitanga vyake ni vya BWANA;Mawe yote ya mfukoni ni kazi yake.

12. Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo;Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.

13. Midomo ya haki ni furaha ya wafalme;Nao humpenda yeye asemaye yaliyo sawa.

Mit. 16