Mit. 11:18-21 Swahili Union Version (SUV)

18. Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu;Apandaye haki ana thawabu ya hakika.

19. Haki huelekea uzima;Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.

20. Wenye kuhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA;Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.

21. Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu;Bali wazao wa wenye haki wataokoka.

Mit. 11