Mhu. 9:17-18 Swahili Union Version (SUV)

17. Maneno ya wenye hekima yanenwayo taratibu husikiwa,Zaidi ya mlio wake atawalaye katikati ya wapumbavu.

18. Hekima ndiyo bora kupita silaha za vita;Lakini mkosaji mmoja huharibu mema mengi.

Mhu. 9