16. Usiwe na haki kupita kiasi;Wala usijiongezee hekima mno;Kwani kujiangamiza mwenyewe?
17. Usiwe mwovu kupita kiasi;Wala usiwe mpumbavu;Kwani ufe kabla ya wakati wako?
18. Ni vizuri kwamba ulishike neno hilo; naam, hata kwa neno hilo tena usiuondoe mkono wako; kwa kuwa mtu yule amchaye Mungu atatoka katika hayo yote.
19. Hekima ni nguvu zake mwenye hekima,Zaidi ya wakuu kumi waliomo mjini.