Mhu. 5:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Jitunze mguu wako uendapo nyumbani kwa Mungu;Maana ni heri kukaribia ili usikie,Kuliko kutoa kafara ya wapumbavu;Ambao hawajui kuwa wafanya mabaya.

2. Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache.

Mhu. 5