1. Jitunze mguu wako uendapo nyumbani kwa Mungu;Maana ni heri kukaribia ili usikie,Kuliko kutoa kafara ya wapumbavu;Ambao hawajui kuwa wafanya mabaya.
2. Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache.