1. Kwa kila jambo kuna majira yake,Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.
2. Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa;Wakati wa kupanda, na wakati wa kung’oa yaliyopandwa;
3. Wakati wa kuua, na wakati wa kupoza;Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga;