Mhu. 3:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Kwa kila jambo kuna majira yake,Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.

2. Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa;Wakati wa kupanda, na wakati wa kung’oa yaliyopandwa;

3. Wakati wa kuua, na wakati wa kupoza;Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga;

Mhu. 3