Mhu. 11:8 Swahili Union Version (SUV)

Naam, mtu akiishi miaka mingi, na aifurahie yote; lakini na azikumbuke siku zijazo za giza, kwa maana zitakuwa nyingi. Mambo yote yajayo ni ubatili.

Mhu. 11

Mhu. 11:2-10