Mdo 7:18-20 Swahili Union Version (SUV)

18. hata mfalme mwingine akainuka juu ya Misri, asiyemfahamu Yusufu.

19. Huyo akawafanyia hila kabila yetu, na kuwatenda mabaya baba zetu, akiwaamuru wawatupe watoto wao wachanga, ili wasiishi.

20. Wakati huo akazaliwa Musa, naye alikuwa mzuri sana, akalelewa muda wa miezi mitatu katika nyumba ya babaye.

Mdo 7