Mdo 26:17-19 Swahili Union Version (SUV)

17. nikikuokoa na watu wako, na watu wa Mataifa, ambao nakutuma kwao;

18. uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.

19. Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,

Mdo 26