Mdo 25:11 Swahili Union Version (SUV)

Basi ikiwa ni mkosa au nimetenda neno la kustahili kufa, sikatai kufa; bali, kama si kweli neno hili wanalonishitaki, hapana awezaye kunitia mikononi mwao. Nataka rufani kwa Kaisari.

Mdo 25

Mdo 25:9-17