Lk. 9:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Akawaita wale Thenashara, akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi.

2. Akawatuma wautangaze ufalme wa Mungu, na kupoza wagonjwa.

3. Akawaambia, Msichukue kitu kwa safari yenu, fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala fedha, wala mmoja wenu asiwe na kanzu mbili.

Lk. 9