Lk. 23:22 Swahili Union Version (SUV)

Akawaambia mara ya tatu, Kwa sababu gani? Huyu ametenda uovu gani? Sikuona kwake hata neno lipasalo kufa. Basi nikiisha kumrudi nitamfungua.

Lk. 23

Lk. 23:15-31