Lk. 22:42-44 Swahili Union Version (SUV)

42. akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. [

43. Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.

44. Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.]

Lk. 22