Lk. 2:49-51 Swahili Union Version (SUV)

49. Akawaambia, Kwani kunitafuta? Hamkujua ya kuwa imenipasa kuwamo katika nyumba ya Baba yangu?

50. Nao hawakuelewa na neno hilo alilowaambia.

51. Akashuka pamoja nao mpaka Nazareti, naye alikuwa akiwatii; na mamaye aliyaweka hayo yote moyoni mwake.

Lk. 2