Lk. 12:27 Swahili Union Version (SUV)

Yatafakarini maua jinsi yameavyo; hayatendi kazi wala hayasokoti; nami nawaambia ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.

Lk. 12

Lk. 12:25-30