Lk. 11:52-54 Swahili Union Version (SUV)

52. Ole wenu, enyi wana-sheria, kwa kuwa mmeuondoa ufunguo wa maarifa; wenyewe hamkuingia, na wale waliokuwa wakiingia mmewazuia.

53. Alipotoka humo, waandishi na Mafarisayo walianza kumsonga vibaya, na kumchokoza kwa maswali mengi,

54. wakimvizia, ili wapate neno litokalo kinywani mwake.

Lk. 11