1. Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.
2. Zishikeni Sabato zangu, na kupastahi patakatifu pangu; mimi ndimi BWANA.
3. Kama mkienda katika amri zangu, na kuyashika maagizo yangu, na kuyafanya;