Law. 20:14-16 Swahili Union Version (SUV)

14. Tena mtu mume akimwoa mke pamoja na mama yake, ni uovu mkuu; watachomwa moto, yeye mume na hao wanawake pia; ili kwamba usiwe uovu kati yenu.

15. Tena mtu mume akilala na mnyama, hakika atauawa; nanyi mtamwua huyo mnyama.

16. Tena mwanamke akimkaribia mnyama ye yote, na kulala pamoja naye, mtamwua huyo mwanamke, na mnyama pia; hakika watauawa; damu yao itakuwa ni juu yao.

Law. 20