54. Hiyo ndiyo sheria ya pigo la ukoma ya kila aina, na ya kipwepwe;
55. na ya ukoma wa vazi, na ukoma wa nyumba;
56. na kivimbe, na kikoko na kipaku king’aacho;
57. ili kufunza itakapokuwa ni unajisi, na itakapokuwa ni safi; hiyo ndiyo sheria ya ukoma.