Law. 14:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

2. Hii ndiyo sheria ya mwenye ukoma, katika siku ya kutakaswa kwake; ataletwa kwa kuhani,

3. na huyo kuhani atatoka aende nje ya marago; na kuhani ataangalia, na tazama, ikiwa pigo la ukoma limepoa kwake huyo mwenye ukoma;

Law. 14