37. Nawe zifanye taa zake saba; nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.
38. Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi.
39. Kitafanywa cha talanta moja ya dhahabu safi, pamoja na vyombo hivi vyote.
40. Nawe angalia ya kwamba uvifanye kama mfano wake, ulioonyeshwa mlimani.