29. yule mtu mume aliyelala naye na ampe baba yake yule kijana shekeli hamsini za fedha, kisha na awe mkewe, kwa kuwa amemtweza; hana ruhusa ya kumwacha siku zake zote.
30. Mtu mume asimtwae mke wa baba yake, wala asifunue ncha ya mavazi ya baba yake.