9. Mtakula hawa katika wote walio majini; kila kilicho na mapezi na magamba mtakula;
10. na kila kisichokuwa na mapezi na magamba msile; ni najisi kwenu.
11. Mna ruhusa kula katika nyuni wote walio safi.
12. Lakini hawa msiwale; tai, na furukombe, na kipungu;