Kum. 1:35-37 Swahili Union Version (SUV)

35. Hakika yangu hapana mmoja miongoni mwa watu hawa wa kizazi hiki kibaya atakayeiona nchi hiyo nzuri, niliyowaapia baba zenu kuwapa,

36. isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, huyo ataiona; nami nitampa yeye na watoto wake nchi hiyo aliyoikanyaga; kwa kuwa amemfuata BWANA kwa kila neno.

37. Na BWANA alinikasirikia mimi kwa ajili yenu, akasema, Wala wewe hutaingia humo;

Kum. 1