Kol. 1:12-14 Swahili Union Version (SUV)

12. mkimshukuru Baba, aliyewastahilisha kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuru.

13. Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;

14. ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;

Kol. 1