Isa. 6:2 Swahili Union Version (SUV)

Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikuwa na mabawa sita; kwa mawili alifunika uso wake, na kwa mawili alifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka.

Isa. 6

Isa. 6:1-5