Isa. 21:5-7 Swahili Union Version (SUV)

5. Wanaandika meza, wanaweka ulinzi, wanakula, wanakunywa. Simameni, enyi wakuu, itieni ngao mafuta.

6. Maana Bwana ameniambia hivi, Enenda, weka mlinzi; aonayo na ayatangaze.

7. Naye akiona kundi la wapanda farasi, wakienda wawili wawili, na kundi la punda, na kundi la ngamia; asikilize sana, akijitahidi kusikiliza.

Isa. 21