Isa. 12:4-6 Swahili Union Version (SUV)

4. Na katika siku hiyo mtasema,Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake;Yatangazeni matendo yake kati ya mataifa,Litajeni jina lake kuwa limetukuka.

5. Mwimbieni BWANA; kwa kuwa ametenda makuu;Na yajulikane haya katika dunia yote.

6. Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni;Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati yako.

Isa. 12