Hos. 12:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Naam, BWANA, Mungu wa majeshi;BWANA ndilo kumbukumbu lake.

6. Basi, mrudie Mungu wako; shika fadhili na hukumu; ukamngojee Mungu wako daima.

7. Ni mchuuzi, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu.

8. Naye Efraimu alisema, Kweli nimekuwa tajiri, nimejipatia mali nyingi; katika kazi zangu zote hawataona kwangu uovu wo wote uliokuwa dhambi.

Hos. 12