Hes. 1:6-16 Swahili Union Version (SUV)

6. Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.

7. Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.

8. Wa Isakari; Nethaneli mwana wa Suari.

9. Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.

10. Katika wana wa Yusufu; wa Efraimu, Elishama mwana wa Amihudi; na wa Manase; Gamalieli mwana wa Pedasuri.

11. Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.

12. Wa Dani; Ahiezeri mwana wa Amishadai.

13. Wa Asheri; Pagieli mwana wa Okirani.

14. Wa Gadi; Eliasafu mwana wa Deueli.

15. Wa Naftali; Ahira mwana wa Enani.

16. Hao ndio walioitwa wa mkutano, wakuu wa kabila za baba zao; nao ndio vichwa vya wale maelfu ya Israeli.

Hes. 1