Hes. 1:5-14 Swahili Union Version (SUV)

5. Na majina ya hao waume watakaosimama pamoja nanyi ni haya; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.

6. Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.

7. Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.

8. Wa Isakari; Nethaneli mwana wa Suari.

9. Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.

10. Katika wana wa Yusufu; wa Efraimu, Elishama mwana wa Amihudi; na wa Manase; Gamalieli mwana wa Pedasuri.

11. Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.

12. Wa Dani; Ahiezeri mwana wa Amishadai.

13. Wa Asheri; Pagieli mwana wa Okirani.

14. Wa Gadi; Eliasafu mwana wa Deueli.

Hes. 1