5. Na majina ya hao waume watakaosimama pamoja nanyi ni haya; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.
6. Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.
7. Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.
8. Wa Isakari; Nethaneli mwana wa Suari.
9. Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.
10. Katika wana wa Yusufu; wa Efraimu, Elishama mwana wa Amihudi; na wa Manase; Gamalieli mwana wa Pedasuri.