Hes. 1:5-10 Swahili Union Version (SUV)

5. Na majina ya hao waume watakaosimama pamoja nanyi ni haya; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.

6. Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.

7. Wa Yuda; Nashoni mwana wa Aminadabu.

8. Wa Isakari; Nethaneli mwana wa Suari.

9. Wa Zabuloni; Eliabu mwana wa Heloni.

10. Katika wana wa Yusufu; wa Efraimu, Elishama mwana wa Amihudi; na wa Manase; Gamalieli mwana wa Pedasuri.

Hes. 1