Ezr. 8:15 Swahili Union Version (SUV)

Nikawakusanya penye mto ushukao kwenda Ahava; na huko tukapiga kambi yetu muda wa siku tatu; nikawakagua watu, na makuhani, wala sikuona hapo wana wa Lawi hata mmoja.

Ezr. 8

Ezr. 8:7-17